Kwa sasa, huduma hii inapatikana ndani
au jirani na mikoa ya Tabora na Arusha (Tanzania).
Mteja anaweza kumkodi mkalimani ili
kurahisisha mawasiliano na wenyeji.
Kumbuka kwamba, lugha ya Kiswahili ni
muhimu katika mawasiliano nchini Tanzania. Hii ni kwa sababu, Watanzania wengi
ni wazungumzaji wa Kiswahili.
Lugha Zilizolengwa
Kwa sasa lugha za Kiswahili na
Kiingereza ndizo zimelengwa katika huduma hii.
Bei
Bei ya kawaida imepangwa ili kumuwezesha
kila mteja kuimudu. Bei kwa huduma hii ni Dola
za Kimarekani 45 kwa saa.
Kama unahitaji huduma hii, tafadhali wasiliana nasi kupitia:
au