Ulingo
wa Kiswahili na "Swahili Platform" ni tovuti ambazo zinalenga kutoa huduma
zinazohusina na masuala ya Kiisimu. Kwa sasa, lugha zilizolengwa ni Kiswahili
na Kiingereza.
Tovuti
hizi zinaambatana kwa pamoja. "Ulingo wa Kiswahili" ni maalumu kwa wazungumzaji wa Kiswahili wa kiwango cha
juu, wakati “Swahili Platform” ni maalumu kwa wazungumzaji wa Kiswahili wa kiwango
cha awali na kati.
Mwanzilishi
wa tovuti hizi ni Marco Henry-Mwanaisimu wa Kujitegemea wa Kiswahili, ambaye aliamua kutumia muda
wake mwingi kufanya kazi zinazohusiana na mada za Kiisimu. (Kiswahili na
Kiingereza).
Pia,
kwa sasa, Bw.Marco anafanya kazi kama timu, kwa kushirikiana na Wanaisimu wengine
wa Kiingereza na Kiswahili ili kutoa huduma za Kiisimu zilizo na ubora.
Tafadhali!
usisite kuwasiliana nasi kama ungependa kufanya kazi na timu yetu. Tupo hapa
kwa ajili ya kujishughulisha na mada za Isimu.
Asante!
-Mwanzilishi wa Tovuti hii
-Mwezeshaji wa Isimu katika Tovuti hii
Kiwango cha Elimu
-Shahada ya Awali ya Isimu katika Kiswahili (Bachelor of Arts in Kiswahili Linguistics)
-Stashahada ya Uzamili katika Elimu (Postgraduate Diploma in Education)
............................................................................................................
-Mwezeshaji wa Isimu katika Tovuti hii
Kiwango cha Elimu
-Shahada ya Awali ya Kiingereza (Bachelor of Arts in English)
-Stashahada ya Uzamili katika Elimu (Postgraduate Diploma in Education)
.............................................................................................................
Bofya hapa kusoma kwa Kiingereza
Mr. Marco Henry |
-Mwanzilishi wa Tovuti hii
-Mwezeshaji wa Isimu katika Tovuti hii
Kiwango cha Elimu
-Shahada ya Awali ya Isimu katika Kiswahili (Bachelor of Arts in Kiswahili Linguistics)
-Stashahada ya Uzamili katika Elimu (Postgraduate Diploma in Education)
............................................................................................................
Mr.Moshi Saidi |
-Mwezeshaji wa Isimu katika Tovuti hii
Kiwango cha Elimu
-Shahada ya Awali ya Kiingereza (Bachelor of Arts in English)
-Stashahada ya Uzamili katika Elimu (Postgraduate Diploma in Education)
.............................................................................................................
Bofya hapa kusoma kwa Kiingereza